Mkurugenzi wa lugarawa youth foundation ahudhuria conference
- lugarawayouth Foundation
- Feb 8, 2024
- 1 min read
Mnamo tarehe 27 Januari 2024, Mkurugenzi wa lugarawa youth foundation alihudhuria kwenye conference iliyoandaliwa na Rais wa MOFATE na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali ambao ulijadili mambo mbalimbali ikiwemo digital health innovations na Elimu ya Cervical cancer na Leprosy. Pia mkutano huo ulihudhuriwa na Mkurugenzi wa Ruvuma women business (RWIB).



Comments